Miongoni mwa tarifa utakazoskia katika makala haya ni pamoja na, Rais wa Tanzania Samia Suluhu, ameagiza vyombo vya sheria ...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa leo Novemba 14, 2025 kulihutubia bunge, ikiwa ni ...
Shirika la utangazaji nchini Tanzania, TBC, limeripoti kuwa rais mteule Samia Suluhu Hassan, ataapishwa hivi leo mjini Dodoma, siku chache kupita tangu atangazwe mshindi wa uchaguzi wa Octoba 29.
RAIS Samia Suluhu Hassan amewahimiza Watanzania kuendelea kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano ...
NI Mwigulu Lameck Nchemba. Ndio, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu mpya.
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania imejegwa katika misingi ya amani na umoja hivyo vijana hawapaswi kushawishika kwa ...
DODOMA: UAMUZI wa Rais Samia Suluhu Hassan kusamehe vijana waliofuata mkumbo na kushiriki vurugu zilizojitokeza wakati wa ...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo ameliambia bunge kwamba tume ya uchunguzi inaundwa kuchunguza mauaji yaliyotokea ...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kulihutubia Bunge la nchi hiyo kama ishara ya kulizindua baada ya kukamilika ...
"Namtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM," Tangazo la mwenyekiti wa INEC, Jacobs Mwambegele asubuhi ya Jumamosi, 01/11/2025. Unaweza ...
Rais Samia Suluhu Hassan ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Tanzania na kupata muhula mwingine licha ya ghasia zilizoshuhudiwa nchini humu. Samia alipata karibu 98% ya kura katika uchaguzi wa ...
The mother of popular Tanzanian TikToker Jennifer Jovin,widely known as Niffer, has pleaded with President Samia Suluhu Hassan toforgive her daughter, who is facing treason-related charges.In an ...